Swali: Baba yangu amekufa Amerika na amekufa katika dini isiyokuwa ya Kiislamu. Serikali huko ikawagawia mali warithi kwa nguvu. Je, inajuzu kwangu kuchukua mali hiyo kwa kuwa mimi ni mwanae?
Jibu: Hapana, usichukue. Sio fungu lako. Wataomrithi ni watoto wake makafiri. Mtoto wake ambaye ni muislamu hamrithi. Hana lolote kwake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (55) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-11-10.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Baba yangu amekufa Amerika na amekufa katika dini isiyokuwa ya Kiislamu. Serikali huko ikawagawia mali warithi kwa nguvu. Je, inajuzu kwangu kuchukua mali hiyo kwa kuwa mimi ni mwanae?
Jibu: Hapana, usichukue. Sio fungu lako. Wataomrithi ni watoto wake makafiri. Mtoto wake ambaye ni muislamu hamrithi. Hana lolote kwake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (55) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-11-10.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/serikali-inamlazimisha-kuchukua-urithi-wa-baba-yake-kafiri/