Mtu ambaye amesheheni makosa tunamwita mzushi. Wazushi wote katika ulimwengu wa Kiislamu bila ya shaka wana matamshi. Wanayajua ni makosa gani walionayo na wanataraji Ahl-us-Sunnah watakuja kuwazingatia kama wazushi.
Soma yale yaliyoandikwa na ndugu Rabiy´ bin Haadiy (Hafidhwahu Allaah) kuhusu Sayyid Qutwub na Wahdat-ul-Wujuud yake na matusi yake kwa ´Uthmaan (Radhiya Allaahu ´anh). Vilevile vitabu vya Sayyid Qutwub vimelemea katika Takfiyr. Takfiyriyyuun wengi wanatumia hoja kwa vitabu vya Sayyid Qutwub.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Wâdi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwaa-ih wa Naswaa-ih, uk. 148
- Imechapishwa: 14/04/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)