Swali: Tunaomba mwongozo juu ya sauti za simu zinazofanana na muziki?
Jibu: Ndugu wanatakiwa kuchunga simu zao zilizo na sauti zinazofanana na sauti za muziki. Ni lazima kubadilisha sauti hizi. Mtu anapasa kufunga simu yake anapoingia msikitini kwa ajili ya kuswali au darsa ili asiwashughulishe watu. Wanafunzi hawatakiwi kujifananisha na watenda madhambi. Hapana haja ya sauti hizo. Weka sauti ya kawaida.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
- Imechapishwa: 08/10/2021
Swali: Tunaomba mwongozo juu ya sauti za simu zinazofanana na muziki?
Jibu: Ndugu wanatakiwa kuchunga simu zao zilizo na sauti zinazofanana na sauti za muziki. Ni lazima kubadilisha sauti hizi. Mtu anapasa kufunga simu yake anapoingia msikitini kwa ajili ya kuswali au darsa ili asiwashughulishe watu. Wanafunzi hawatakiwi kujifananisha na watenda madhambi. Hapana haja ya sauti hizo. Weka sauti ya kawaida.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
Imechapishwa: 08/10/2021
https://firqatunnajia.com/sauti-za-simu-na-muziki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)