Allaah ameilinda nchi yetu kujenga juu ya makaburi. Hilo ni kutokana na fadhilah za Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) kisha kutokana na matunda ya ulinganizi mtukufu wa Salafiyyah ambao alisimama nao kiongozi wa Salafiyyah na mnusuru wa Salafiyyah: Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab na Muhammad bin Sa´uud. Allaah awarehemu na amrehemu kila ambaye amepita juu ya njia hiyo. Huwezi kupata nchi yetu watu wanajenga juu ya makaburi. Hilo ni katika upole na rehema za Allaah juu yetu.
- Mhusika: ´Allaamah Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Muhadhara: Haqiyqat-ul-Bay´ah fiyl-Islaam wa Bayaan Shuruutwihaa wa Khatwar Naz´ihaa
- Imechapishwa: 28/03/2024
Allaah ameilinda nchi yetu kujenga juu ya makaburi. Hilo ni kutokana na fadhilah za Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) kisha kutokana na matunda ya ulinganizi mtukufu wa Salafiyyah ambao alisimama nao kiongozi wa Salafiyyah na mnusuru wa Salafiyyah: Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab na Muhammad bin Sa´uud. Allaah awarehemu na amrehemu kila ambaye amepita juu ya njia hiyo. Huwezi kupata nchi yetu watu wanajenga juu ya makaburi. Hilo ni katika upole na rehema za Allaah juu yetu.
Mhusika: ´Allaamah Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Muhadhara: Haqiyqat-ul-Bay´ah fiyl-Islaam wa Bayaan Shuruutwihaa wa Khatwar Naz´ihaa
Imechapishwa: 28/03/2024
https://firqatunnajia.com/saudi-arabia-ni-matunda-ya-salafiyyah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)