Swali: Je, ni sahihi kwamba Khatwiyb anatakiwa kutoa salamu mbili; salamu wakati anapoingia na salamu wakati baada ya kupanda juu ya mimbari?
Jibu: Bali wanasema kuwa anatakiwa kutoa salamu mara tatu. Salamu ya kwanza ni pale anapoingia kwenye mlango; anawasalimia wale walioko pale. Salamu ya pili ni pale anapofika kwenye mimbari; anawasalimia wale walioko pale. Salamu ya tatu ni pale anapopanda kwenye mimbari. Je, ni jambo linalomdhuru? Ni kheri zaidi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (13) http://alfawzan.af.org.sa/sites/de
- Imechapishwa: 20/10/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket