Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye anadai kuwa yeye anazifahamu Hadiyth za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa ufahamu usiyokuwa wa Salaf?
Jibu: Ni kosa. Hapana shaka yoyote kwamba wema wetu waliotangulia ambao wameyasikia maandiko ya Qur-aan na Sunnah ni wajuzi zaidi wa tafsiri yake kuliko sisi. Huenda baadhi ya wasikilizaji au baadhi ya waliokuja nyuma wakafahamu kitu vyema zaidi, kama alivosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Huenda mfikishaji ana uelewa mzuri zaidi kuliko msikilizaji.”
Lakini kwa ujumla ufahamu wa Salaf ni mkubwa zaidi kuliko ufahamu wetu.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/عليكم-بسنتي-وسنة-الخلفاء-الراشدين
- Imechapishwa: 20/06/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye anadai kuwa yeye anazifahamu Hadiyth za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa ufahamu usiyokuwa wa Salaf?
Jibu: Ni kosa. Hapana shaka yoyote kwamba wema wetu waliotangulia ambao wameyasikia maandiko ya Qur-aan na Sunnah ni wajuzi zaidi wa tafsiri yake kuliko sisi. Huenda baadhi ya wasikilizaji au baadhi ya waliokuja nyuma wakafahamu kitu vyema zaidi, kama alivosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Huenda mfikishaji ana uelewa mzuri zaidi kuliko msikilizaji.”
Lakini kwa ujumla ufahamu wa Salaf ni mkubwa zaidi kuliko ufahamu wetu.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/عليكم-بسنتي-وسنة-الخلفاء-الراشدين
Imechapishwa: 20/06/2022
https://firqatunnajia.com/salaf-wana-ufahamu-mkubwa-zaidi-kutushinda/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)