Swali: Ni ipi hukumu ya kusema:
صدق الله العظيم
“Allaah mtukufu amesema kweli”?
baada ya kumaliza kusoma Qur-aan?
Jibu: Bora ni kutokufanya hivo. Haikuthibiti kwamba Salaf walikuwa wakifanya hivo.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (07) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/434/434.mp3
- Imechapishwa: 16/12/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kusema:
صدق الله العظيم
“Allaah mtukufu amesema kweli”?
baada ya kumaliza kusoma Qur-aan?
Jibu: Bora ni kutokufanya hivo. Haikuthibiti kwamba Salaf walikuwa wakifanya hivo.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (07) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/434/434.mp3
Imechapishwa: 16/12/2018
https://firqatunnajia.com/salaf-hawakuwa-wakisema-haya-baada-ya-kumaliza-kusoma-qur-aan/