Swali: Mkojo ukiingia kwenye nguo yangu inatosha nioshe kwa maji au ni lazima nitumie maji pamoja na sabuni?
Jibu: Hapana, si lazima kutumia sabuni. Ukiosha kwa maji mpaka najisi ikaondoka inatosha.
Swali: Suruwali ikidondoka chooni na sijui kama imeingiwa na najisi au hapana…
Jibu: Ikiwa hujui basi msingi ni kwamba ni safi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
- Imechapishwa: 15/04/2021
Swali: Mkojo ukiingia kwenye nguo yangu inatosha nioshe kwa maji au ni lazima nitumie maji pamoja na sabuni?
Jibu: Hapana, si lazima kutumia sabuni. Ukiosha kwa maji mpaka najisi ikaondoka inatosha.
Swali: Suruwali ikidondoka chooni na sijui kama imeingiwa na najisi au hapana…
Jibu: Ikiwa hujui basi msingi ni kwamba ni safi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
Imechapishwa: 15/04/2021
https://firqatunnajia.com/sabuni-wakati-wa-kuondosha-najisi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
