Saa ya wanawake na si wanaume

Swali: Ni ipi hukumu ya kuvaa saa iliyopambwa kwa dhahabu?

Jibu: Inawafaa wanawake na si wanaume.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24539/حكم-لبس-الساعة-المطلية-بالذهب
  • Imechapishwa: 25/10/2024