Roho za waumini kuchukuliwa kabla ya Qiyaamah

Swali: Qiyaamah kitawakuta waumini au kutakuja upepo kabla yake?

Jibu: Kutakuja upepo mzuri ambao utazitoa roho za waumini. Qiyaamah kitawasimamia waovu peke yao. Watu wote wanasubiri Qiyaamah; wakijiwa na zile alama vinginevyo watakuwa ni miongoni mwa waovu endapo watafikiwa na Qiyaamah.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22316/هل-تقبض-الريح-المومنين-قبل-قيام-الساعة
  • Imechapishwa: 04/02/2023