Swali: Wakati fulani naswali pembezoni mwa mtu ambaye mikononi mwake yuko na rangi za kucha. Ni wajibu kumbainishia kwamba anatakiwa kuondosha rangi hii?
Jibu: Pasi na shaka. Rangi za kucha zinazuia maji. Ni wajibu kwako kumnasihi aondoshe rangi hii na atawadhe ili maji yaweze kufika makuchani.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (50) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah%20Fiqh-06-05-1437.mp3
- Imechapishwa: 17/03/2019
Swali: Wakati fulani naswali pembezoni mwa mtu ambaye mikononi mwake yuko na rangi za kucha. Ni wajibu kumbainishia kwamba anatakiwa kuondosha rangi hii?
Jibu: Pasi na shaka. Rangi za kucha zinazuia maji. Ni wajibu kwako kumnasihi aondoshe rangi hii na atawadhe ili maji yaweze kufika makuchani.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (50) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah%20Fiqh-06-05-1437.mp3
Imechapishwa: 17/03/2019
https://firqatunnajia.com/rangi-za-kucha-zinazuia-maji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)