Rak´ah mbili za kabla ya Fajr zinatosheleza na zile Rak´ah mbili kwa ajili ya mamkuzi ya msikiti

Swali: Nikiingia msikitini baada ya adhaana ya fajr niswali Rak´ah mbili kwa ajili ya msikiti halafu niswali Rak´ah mbili za kabla ya fajr?

Jibu: Rak´ah mbili za kabla ya fajr zinatosheleza na Rak´ah mbili kwa ajili ya msikiti. Swali Rak´ah mbili za kabla ya fajr na zinatosheleza na Rak´ah mbili kwa ajili ya mamkuzi ya msikiti.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
  • Imechapishwa: 11/02/2017