Swali: Mtu ambaye amefika kutoka safarini aswali aswali msikitini katika ule wakati uliokatazwa kuswali ndani yake?
Jibu: Akiingia msikitini aswali ikiwa swalah hiyo ina sababu kama tulivotangulia kusema kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliamrisha kuswali Rak´ah mbili wakati mtu anapofika kutoka safarini. Hivyo akiingia msikitini anakuwa na sababu ya kufanya hivo.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
- Imechapishwa: 27/05/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)