Swali: Mtu ambaye amefika kutoka safarini aswali aswali msikitini katika ule wakati uliokatazwa kuswali ndani yake?
Jibu: Akiingia msikitini aswali ikiwa swalah hiyo ina sababu kama tulivotangulia kusema kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliamrisha kuswali Rak´ah mbili wakati mtu anapofika kutoka safarini. Hivyo akiingia msikitini anakuwa na sababu ya kufanya hivo.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
- Imechapishwa: 27/05/2019
Swali: Mtu ambaye amefika kutoka safarini aswali aswali msikitini katika ule wakati uliokatazwa kuswali ndani yake?
Jibu: Akiingia msikitini aswali ikiwa swalah hiyo ina sababu kama tulivotangulia kusema kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliamrisha kuswali Rak´ah mbili wakati mtu anapofika kutoka safarini. Hivyo akiingia msikitini anakuwa na sababu ya kufanya hivo.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
Imechapishwa: 27/05/2019
https://firqatunnajia.com/rakah-mbili-msikitini-wakati-uliokatazwa-wakati-mtu-anapofika-kutoka-safarini/