Swali: Ni ipi hukumu ya kudumu kwa kuswali swalah ya sunnah ya Dhuhr Rak´ah nne kabla yake na nne baada yake?
Jibu: Atayeswali kabla ya Dhuhr Rak´ah nne Allaah Atamjengea nyumba Peponi. Akidumu kwa kuziswali ni ziada ya kheri.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (06) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-8-5.mp3
- Imechapishwa: 10/11/2014
Swali: Ni ipi hukumu ya kudumu kwa kuswali swalah ya sunnah ya Dhuhr Rak´ah nne kabla yake na nne baada yake?
Jibu: Atayeswali kabla ya Dhuhr Rak´ah nne Allaah Atamjengea nyumba Peponi. Akidumu kwa kuziswali ni ziada ya kheri.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (06) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-8-5.mp3
Imechapishwa: 10/11/2014
https://firqatunnajia.com/rakaa-nne-za-sunnah-kabla-ya-dhuhr-na-baada-yake/