Swali: Kuna fatwa iliyoenea ya baadhi ya wanazuoni waliohai na waliokufa (Rahimahumu Allaah) ambao wamejuzisha kuondoa uchawi kwa kutumia uchawi mwingine kutokana na dharurah. Je, haitoshi ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Adhabu ya mchawi ni kupingwa kwa upanga”?
Jibu: Kwa hali yoyote ni kwamba maoni ya pili ni kosa. Maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliposema:
”Adhabu ya mchawi ni kupingwa kwa upanga”?
Ni maneno ya Swahabah hata hivyo yanayo hukumu moja kama maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Qur-aan imetaja wazi ya kwamba mchawi ni kafiri:
وَمَا يُعَلِّمَانِ مِنْ أَحَدٍ حَتَّىٰ يَقُولَا إِنَّمَا نَحْنُ فِتْنَةٌ فَلَا تَكْفُرْ
“Na [hao Malaika wawili] hawamfundishi yeyote mpaka wamueleze: “Hakika sisi ni mtihani, basi usikufuru [kwa kufanya uchawi]”.”[1]
[1] 02:102
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24603/الرد-على-من-اباح-النشرة-بالسحر-للضرورة
- Imechapishwa: 09/11/2024
Swali: Kuna fatwa iliyoenea ya baadhi ya wanazuoni waliohai na waliokufa (Rahimahumu Allaah) ambao wamejuzisha kuondoa uchawi kwa kutumia uchawi mwingine kutokana na dharurah. Je, haitoshi ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Adhabu ya mchawi ni kupingwa kwa upanga”?
Jibu: Kwa hali yoyote ni kwamba maoni ya pili ni kosa. Maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliposema:
”Adhabu ya mchawi ni kupingwa kwa upanga”?
Ni maneno ya Swahabah hata hivyo yanayo hukumu moja kama maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Qur-aan imetaja wazi ya kwamba mchawi ni kafiri:
وَمَا يُعَلِّمَانِ مِنْ أَحَدٍ حَتَّىٰ يَقُولَا إِنَّمَا نَحْنُ فِتْنَةٌ فَلَا تَكْفُرْ
“Na [hao Malaika wawili] hawamfundishi yeyote mpaka wamueleze: “Hakika sisi ni mtihani, basi usikufuru [kwa kufanya uchawi]”.”[1]
[1] 02:102
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24603/الرد-على-من-اباح-النشرة-بالسحر-للضرورة
Imechapishwa: 09/11/2024
https://firqatunnajia.com/radd-kwa-anayezusha-kuondoa-uchawi-kwa-kutumia-uchawi-mwingine/