Swali: Je, Qunuut inamuhusu pia anayeswali peke yake na mwanamke anayeswali peke yake?
Jibu: Wakati wa majanga. Waislamu wanapofikwa na maafa basi anatakiwa kuleta Qunuut na kumwomba Allaah ainusuru dini Yake na kwamba Allaah awatosheleza na shari ya maadui. Hivo ndivo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akifanya. Mara nyingi ilikuwa ni katika Fajr, wakati mwingine akifanya (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hivo Maghrib na nyakati nyenginezo. Hii inaitwa Qunuut ya majanga.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23768/هل-يشرع-قنوت-النوازل-للمنفرد
- Imechapishwa: 24/04/2024
Swali: Je, Qunuut inamuhusu pia anayeswali peke yake na mwanamke anayeswali peke yake?
Jibu: Wakati wa majanga. Waislamu wanapofikwa na maafa basi anatakiwa kuleta Qunuut na kumwomba Allaah ainusuru dini Yake na kwamba Allaah awatosheleza na shari ya maadui. Hivo ndivo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akifanya. Mara nyingi ilikuwa ni katika Fajr, wakati mwingine akifanya (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hivo Maghrib na nyakati nyenginezo. Hii inaitwa Qunuut ya majanga.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23768/هل-يشرع-قنوت-النوازل-للمنفرد
Imechapishwa: 24/04/2024
https://firqatunnajia.com/qunuut-ya-majanga/