Swali: Je, Qunuut inamuhusu pia anayeswali peke yake na mwanamke anayeswali peke yake?
Jibu: Wakati wa majanga. Waislamu wanapofikwa na maafa basi anatakiwa kuleta Qunuut na kumwomba Allaah ainusuru dini Yake na kwamba Allaah awatosheleza na shari ya maadui. Hivo ndivo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akifanya. Mara nyingi ilikuwa ni katika Fajr, wakati mwingine akifanya (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hivo Maghrib na nyakati nyenginezo. Hii inaitwa Qunuut ya majanga.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23768/هل-يشرع-قنوت-النوازل-للمنفرد
- Imechapishwa: 24/04/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket