Jipime maarifa yako kuhusu ´Aqiydah sahihi

Chemsha Bongo ya ´Aqiydah sahihi 05

15:00

Nini ipi katika hizi ni moja ya maana ya kushuhudia ya kwamba Muhammad ni Mtume wa Allaah?

Nini maana ya shirki?

Ni ipi kalima ya Tawhiyd?

Ni karne ngapi bora alizozisifia Mtume?

Ni ipi imani sahihi katika hizi kuhusu Malaika?

Je, kuna tofauti kati ya anayemwabudu Mtume na anayeabudu sanamu au jiwe?

Mtume alikuwa na miaka mingapi alipotumwa na Allaah?

Je, maneno ya Allaah ni maneno yanayosikika kwa herufi na sauti?

Je, kila kitu katika ulimwengu kinatokea baada ya matakwa ya Allaah?

Ni ipi hukumu ya anayepinga moja ya mambo yanayotambulika vyema katika Uislamu?

Ni ipi hukumu ya anayeamini kuwa kitu katika dhati ya Allaah kimechanganyika na kiumbe?

Ni lini matendo yanakubaliwa na Allaah?

Ni Suurah ipi ambayo ni sawa na thuluthi ya Qur-aan?

Je, inafaa kumtii yeyote katika kumuasi Allaah?

Nini ipi katika hizi ni moja ya maana ya kushuhudia ya kwamba Muhammad ni Mtume wa Allaah?

Je, ni Mtume yupi katika hawa aliyetumwa kwa watu wote?

Ni nini maana ya kulingana (Istiwaa) juu ya Arshi?

Ni Suurah ipi ambayo ni sawa na robo ya Qur-aan?

Nini ipi katika hizi ni moja ya maana ya kushuhudia ya kwamba Muhammad ni Mtume wa Allaah?

Ni ipi imani sahihi juu ya Mtume Iysaa bin Maryam?

Kuna aina ngapi za wahy na ni zipi?

Je, Mtume Iysaa atarudi ulimwenguni kama Mtume au mfuasi katika wafuasi wa Mtume Muhammad?