Swali: Je, imamu anaposikia mtu anaingia msikitini arefushe swalah kiasi ili mtu huyo aweze kuwahi kujiunga na mkusanyiko?
Jibu: Ndio, ndio bora. Arefushe kiasi fulani kiasi kisichowatia uzito watu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anaenda katika Rukuu´ pale ambapo hasikii tena nyayo za miguu. Kwa maana nyingine anamzingatia yule mwingiaji ili aweze kuwahi Rak´ah. Asirefushe kiasi cha kuwatia uzito watu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22731/حكم-تطويل-الامام-ليلحق-الداخل-بالجماعة
- Imechapishwa: 09/08/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)