Swali: Mswaliji katika Rak´ah mbili za mwisho katika swalah ya ´Aswr au ´Ishaa au katika Rak´ah ya mwisho ya swalah ya ´Ishaa pindi imamu anaporefusha bora anyamaze baada ya al-Faatihah au asome?
Jibu: Akisoma ni sawa. Bora – Allaah ndiye mjuzi zaidi – asome. [Abu Bakr] as-Swiddiyq (Radhiya Allaahu ´anh) alikuwa akisoma baada ya Rak´ah ya tatu katika Maghrib:
رَبَّنَا لَا تُزِغْ قُلُوبَنَا
“Ee Mola wetu! Usizipotoe nyoyo zetu.”[1]
Makusudio ni kwamba imamu wake anaponyamaza kabla ya kwenda katika Rukuu´ asome kile kitachomuwepesikia.
Swali: Lakini bora kwa imamu kuleta Takbiyr hali ya kurukuu?
Jibu: Ndio.
[1] 03:08
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22392/ماذا-يفعل-لو-اطال-الامام-في-الثالثة-والرابعة
- Imechapishwa: 16/03/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)