Swali 571: Je, mwanamke aliye katika eda ya kufiwa anaweza kutoka kwenda jangwani au matembezi ya burudani?
Jibu: Bora ni kuepuka, kwa sababu hilo si hitaji la lazima. Anatakiwa kutoka kwa ajili ya hospitali au mambo muhimu tu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 199
- Imechapishwa: 13/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 571: Je, mwanamke aliye katika eda ya kufiwa anaweza kutoka kwenda jangwani au matembezi ya burudani?
Jibu: Bora ni kuepuka, kwa sababu hilo si hitaji la lazima. Anatakiwa kutoka kwa ajili ya hospitali au mambo muhimu tu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 199
Imechapishwa: 13/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/pikniki-kwa-mwanamke-ndani-ya-eda/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)