Swali: Je, moto na pepo atavyokuja navyo ad-Dajjaal ni vya ukweli? Ni wapi atapoanguka yule atayetupwa kwenye moto wake au pepo yake?
Jibu: Hapana, sio vya kweli. Ni kiini macho. Ndio maana akaitwa ´ad-Dajjaal`. Ni nini maana ya ´ad-Dajjaal`? Mwongo. Mambo yote haya atayokuja nayo ni kiini macho tu na uongo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/nawaqid-19-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 11/04/2015
Swali: Je, moto na pepo atavyokuja navyo ad-Dajjaal ni vya ukweli? Ni wapi atapoanguka yule atayetupwa kwenye moto wake au pepo yake?
Jibu: Hapana, sio vya kweli. Ni kiini macho. Ndio maana akaitwa ´ad-Dajjaal`. Ni nini maana ya ´ad-Dajjaal`? Mwongo. Mambo yote haya atayokuja nayo ni kiini macho tu na uongo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/nawaqid-19-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 11/04/2015
https://firqatunnajia.com/pepo-na-moto-wa-ad-dajjaal-ni-vya-kweli/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)