Swali: Ni Sunnah kufunika kichwa wakati wa swalah?
Jibu: Ndio. Kujipamba katika swalah ni jambo linalotakikana:
يَا بَنِي آدَمَ خُذُوا زِينَتَكُمْ عِندَ كُلِّ مَسْجِدٍ
“Enyi wana wa Aadam! Chukueni mapambo yenu wakati wa kila swalah.” (07:31)
Mapambo ni kufunika viungo vya siri na ni kujipamba kwa wasaa, kama alivyosema Shaykh-ul-Islaam. Umesimama mbele ya Mola Wako. Hivyo unatakiwa uwe katika muonekano mzuri kadri na inavyowezekana.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (16) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–14330804.mp3
- Imechapishwa: 09/06/2020
Swali: Ni Sunnah kufunika kichwa wakati wa swalah?
Jibu: Ndio. Kujipamba katika swalah ni jambo linalotakikana:
يَا بَنِي آدَمَ خُذُوا زِينَتَكُمْ عِندَ كُلِّ مَسْجِدٍ
“Enyi wana wa Aadam! Chukueni mapambo yenu wakati wa kila swalah.” (07:31)
Mapambo ni kufunika viungo vya siri na ni kujipamba kwa wasaa, kama alivyosema Shaykh-ul-Islaam. Umesimama mbele ya Mola Wako. Hivyo unatakiwa uwe katika muonekano mzuri kadri na inavyowezekana.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (16) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–14330804.mp3
Imechapishwa: 09/06/2020
https://firqatunnajia.com/pambo-zuri-wakati-wa-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)