Swali: Mtu anaweza kuchukua hekima ya uharamu wa vyombo vya dhahabu na fedha na akasema kadhalika ni haramu kuwa na nyumba na gari ya kifakhari ili mafukara wasije wakaona unyonge?
Jibu: Hapana, sio haramu. Inajuzu. Lakini hata hivyo imechukizwa ikiwa itapelekea katika kiburi na fakhari. Itakuwa imechukizwa peke yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdah–14340316.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Swali: Mtu anaweza kuchukua hekima ya uharamu wa vyombo vya dhahabu na fedha na akasema kadhalika ni haramu kuwa na nyumba na gari ya kifakhari ili mafukara wasije wakaona unyonge?
Jibu: Hapana, sio haramu. Inajuzu. Lakini hata hivyo imechukizwa ikiwa itapelekea katika kiburi na fakhari. Itakuwa imechukizwa peke yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdah–14340316.mp3
Imechapishwa: 25/08/2020
https://firqatunnajia.com/nyumba-na-gari-ya-kifakhari/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)