Swali: Ni vipi mtu atafanya kwa mujibu wa Shari´ah kama yuko na vyombo vya jikoni vya dhahabu na fedha kisha akajua kuwa ni haramu?
Jibu: Ni sahali. Aende kwa fundi na amuombe amuondolee dhahabu.
Swali: Anaweza kuwauzia makafiri?
Jibu: Hapana. Asiwauzie na wala asile thamani yake. Ni kama tulivyosema aende kwa fundi amuondolee hiyo dhahabu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdah–14340316.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Swali: Ni vipi mtu atafanya kwa mujibu wa Shari´ah kama yuko na vyombo vya jikoni vya dhahabu na fedha kisha akajua kuwa ni haramu?
Jibu: Ni sahali. Aende kwa fundi na amuombe amuondolee dhahabu.
Swali: Anaweza kuwauzia makafiri?
Jibu: Hapana. Asiwauzie na wala asile thamani yake. Ni kama tulivyosema aende kwa fundi amuondolee hiyo dhahabu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdah–14340316.mp3
Imechapishwa: 25/08/2020
https://firqatunnajia.com/amepata-kujua-kuwa-vyombo-vya-dhahabu-na-fedha-havijuzu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)