Swali: Mama yangu ananiamrisha kuzinyoa ndevu zangu ili baadaye zimee kwa wingi. Je, inafaa kumtii katika hilo?
Jibu: Hapana, asimtii katika hilo. Hii ni dhambi na mama yake ni mjinga. Asimtii katika hili. Aziache ndevu kama alivyoziumba Allaah na wala asiziguse eti ili ziwe nyingi. Aridhie yale aliyomwandikia Allaah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (97) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igatha26-02-1440-h.mp3
- Imechapishwa: 13/05/2019
Swali: Mama yangu ananiamrisha kuzinyoa ndevu zangu ili baadaye zimee kwa wingi. Je, inafaa kumtii katika hilo?
Jibu: Hapana, asimtii katika hilo. Hii ni dhambi na mama yake ni mjinga. Asimtii katika hili. Aziache ndevu kama alivyoziumba Allaah na wala asiziguse eti ili ziwe nyingi. Aridhie yale aliyomwandikia Allaah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (97) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igatha26-02-1440-h.mp3
Imechapishwa: 13/05/2019
https://firqatunnajia.com/nyoa-ndevu-ili-baadaye-ziwe-nyingi/