Swali 02: Kuna mtoto wa kiume ana miaka saba ambaye anafahamu na wala haudhi na anapenda kwenda msikitini. Je, akatazwe?
Jibu: Ikiwa haudhi hakuna neno. Kwa sababu kinachozingatiwa ni akili. Miaka saba ndio wakati wa kupata akili mara nyingi. Japokuwa wako wanaopata akili katika miaka saba na wengine baada ya hapo. Muhimu mtoto awe na akili na asiwaudhi watu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 32
- Imechapishwa: 25/07/2018
Swali 02: Kuna mtoto wa kiume ana miaka saba ambaye anafahamu na wala haudhi na anapenda kwenda msikitini. Je, akatazwe?
Jibu: Ikiwa haudhi hakuna neno. Kwa sababu kinachozingatiwa ni akili. Miaka saba ndio wakati wa kupata akili mara nyingi. Japokuwa wako wanaopata akili katika miaka saba na wengine baada ya hapo. Muhimu mtoto awe na akili na asiwaudhi watu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 32
Imechapishwa: 25/07/2018
https://firqatunnajia.com/nimzuie-mtoto-wa-miaka-saba-anapenda-kwenda-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)