Swali: Je, kila anayekujia kukuomba unampatia?
Jibu:
وَفِي أَمْوَالِهِمْ حَقٌّ لِّلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ
“Katika mali zao kuna haki maalum; kwa mwenye kuomba na asiyeomba.”[1]
Isipokuwa ikiwa utajua kwamba yeye ni muongo, basi mkemee na umnasihi. Ikiwa utamjua kuwa ni muongo, anastahili kuonywa na kufundishwa. Lakini ikiwa humjui au unajua kuwa ana haja ya kweli, basi Sunnah ni kumpa kadiri utakavyoweza.
[1] 51:19
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31164/هل-يعطى-كل-من-يسال
- Imechapishwa: 09/10/2025
Swali: Je, kila anayekujia kukuomba unampatia?
Jibu:
وَفِي أَمْوَالِهِمْ حَقٌّ لِّلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ
“Katika mali zao kuna haki maalum; kwa mwenye kuomba na asiyeomba.”[1]
Isipokuwa ikiwa utajua kwamba yeye ni muongo, basi mkemee na umnasihi. Ikiwa utamjua kuwa ni muongo, anastahili kuonywa na kufundishwa. Lakini ikiwa humjui au unajua kuwa ana haja ya kweli, basi Sunnah ni kumpa kadiri utakavyoweza.
[1] 51:19
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31164/هل-يعطى-كل-من-يسال
Imechapishwa: 09/10/2025
https://firqatunnajia.com/nimpe-kila-anayeniomba/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
