Swali: Ni bora kwangu kujihijia mwenyewe au nimhijie baba yangu ambaye ameshakufa lakini aliwahi kuhiji?
Jibu: Ikiwa umeshajihijia mwenyewe hijjah ya kwanza kinachotakikana ni wewe kujihijia hijjah iliyopendekezwa baada ya faradhi kisha baada ya hapo ndio umhijie baba yako.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (18) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-11-13.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Ni bora kwangu kujihijia mwenyewe au nimhijie baba yangu ambaye ameshakufa lakini aliwahi kuhiji?
Jibu: Ikiwa umeshajihijia mwenyewe hijjah ya kwanza kinachotakikana ni wewe kujihijia hijjah iliyopendekezwa baada ya faradhi kisha baada ya hapo ndio umhijie baba yako.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (18) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-11-13.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/nijihijie-mwenyewe-au-nimhijie-babangu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)