Swali: Mswaliji wakati wa kusimama kwake kunyooka sawasawa hutazama maeneo pa Sujuud yake. Ni wapi anatakiwa kutazama wakati wa Rukuu´, Sujuud na Tashahhud?
Jibu: Mswaliji katika hali ya Rukuu´ yake anatakiwa kutazama mahali pa Sujuud yake pia. Kuhusu wakati wa Tashahhud anatakiwa kutazama kidole chake cha kuashiria. Wakati wa Sujuud yake anatakiwa kutazama mbele kwa chini ya macho yake ardhini.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
´Abdullaah bin Qu´uud
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah nr. (6914)
- Imechapishwa: 22/05/2022
Swali: Mswaliji wakati wa kusimama kwake kunyooka sawasawa hutazama maeneo pa Sujuud yake. Ni wapi anatakiwa kutazama wakati wa Rukuu´, Sujuud na Tashahhud?
Jibu: Mswaliji katika hali ya Rukuu´ yake anatakiwa kutazama mahali pa Sujuud yake pia. Kuhusu wakati wa Tashahhud anatakiwa kutazama kidole chake cha kuashiria. Wakati wa Sujuud yake anatakiwa kutazama mbele kwa chini ya macho yake ardhini.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
´Abdullaah bin Qu´uud
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah nr. (6914)
Imechapishwa: 22/05/2022
https://firqatunnajia.com/ni-wapi-hutazama-mswaliji-anapokuwa-katika-rukuu-sujuud-na-tashahhud/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)