Ni wajibu kuchukua maji mapya wakati wa kupangusa masikio?

Swali: Ni wajibu kuchukua maji mapya kwa ajili ya kupangusa masikio wakati wa kutawadha?

Jibu: Hapana. Maoni sahihi ni kwamba yanatosheleza yale maji uliyopangusa kwayo kichwa. Yanatosha.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340323.mp3
  • Imechapishwa: 25/08/2020