Swali: Ninataka kuwafunza watu wa mji wangu na familia yangu, ambao ni watu wasiokuwa wasomi, Fiqh. Ni kitabu kipi unapendekeza kwangu niwafunze mambo ya dini yao kwa kuzingatia ya kwamba wanafuata madhehebu ya Maalik?
Jibu: Chagua vitabu vifupi vya Maalikiyyah. Wadurusishe na wafunze vitabu vifupi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340323.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Swali: Ninataka kuwafunza watu wa mji wangu na familia yangu, ambao ni watu wasiokuwa wasomi, Fiqh. Ni kitabu kipi unapendekeza kwangu niwafunze mambo ya dini yao kwa kuzingatia ya kwamba wanafuata madhehebu ya Maalik?
Jibu: Chagua vitabu vifupi vya Maalikiyyah. Wadurusishe na wafunze vitabu vifupi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340323.mp3
Imechapishwa: 25/08/2020
https://firqatunnajia.com/ni-kitabu-kipi-cha-fiqh-nitawafunza-watu-wa-mji-wangu-wanaomfuata-maalik/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)