Swali: Ni kitabu kipi bora inapokuja katika Siyrah?
Jibu: Siyrah ya Ibn Hishaam ni miongoni mwa vitabu bora vilivyoandikwa katika maudhui haya na “al-Bidaayah wan-Nihaayah” ya Ibn Kathiyr. Shaykh na Imaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab ametunga kitabu “Mukhtaswar-us-Siyrah”. Vivyo hivyo mwanae ´Abdullaah ana vitabu viwili vifupi vizuri ambapo ndani yake amebainisha ´Aqiydah, kunyofoa hukumu kutoka katika Siyrah na yale yanayojulisha Tawhiyd.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
- Imechapishwa: 12/11/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)