Ni upi muda mchache kabisa na mwingi wa I´tikaaf? II

Swali: Ni upi muda mchache kabisa wa I´tikaaf?

Jibu: Hakuna mpaka maalum. Hakuna mpaka wa uchache wala wa wingi wake. Haikuthibiti katika Shari´ah kuiweka kikomo.

Swali: Wako wanaosema kwamba ni saa moja?

Jibu: Hakuna dalili. Je, hakuna kitambo cha chini ya saa? Waliosema hivo walichomaanisha ni kupigia mfano.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/audios/794/فتاوى-رمضانية
  • Imechapishwa: 23/04/2023