Swali: Ni kipi bora ndani ya Ramadhaan kwa muislamu; kusoma Qur-aan, kufanya Twawaaf au kuswali swalah zinazopendeza?
Jibu: Afanye kile kitachokuwa chepesi katika haya; mara asome Qur-aan, wakati mwingine atufu na wakati mwingine aswali. Kwa maana nyingine kila atachokiweza katika haya katika swalah, Twawaaf, kisomo, kuomba du´aa, Tasbiyh na Tahliyl. Awe ni mwenye kujitahidi yote haya. Mara hiki mara kile. Aharakie kufanya kila aina ya kheri; mara atufu, mara aswali, mara asome.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/audios/794/فتاوى-رمضانية
- Imechapishwa: 23/04/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)