Swali: Ni ipi hukumu ya ibara hii “Qur-aan imesema kadhaa”?
Jibu: Uhakika wa mambo ni kwamba Qur-aan haisemi, bali ni Maneno ya Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Mwenye kuzungumza ni Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Badala yake inatakiwa kusema “kumesemwa kadhaa katika Qur-aan, Allaah Amesema kadhaa” na bora zaidi ni kusema “Allaah Amesema kadhaa”. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anasema katika Hadiyth Qudsiy “Allaah Amesema kadhaa”. Kadhalika Salaf walipokuwa wanatumia dalili kwa Aayah wanasema “Allaah Amesema na Mtume wa Allaah amesema”.
- Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=26882
- Imechapishwa: 19/05/2015
Swali: Ni ipi hukumu ya ibara hii “Qur-aan imesema kadhaa”?
Jibu: Uhakika wa mambo ni kwamba Qur-aan haisemi, bali ni Maneno ya Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Mwenye kuzungumza ni Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Badala yake inatakiwa kusema “kumesemwa kadhaa katika Qur-aan, Allaah Amesema kadhaa” na bora zaidi ni kusema “Allaah Amesema kadhaa”. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anasema katika Hadiyth Qudsiy “Allaah Amesema kadhaa”. Kadhalika Salaf walipokuwa wanatumia dalili kwa Aayah wanasema “Allaah Amesema na Mtume wa Allaah amesema”.
Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=26882
Imechapishwa: 19/05/2015
https://firqatunnajia.com/ni-sawa-kusema-qur-aan-imesema__trashed/