Swali: Baadhi ya wale wanaosherehekea mazazi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wanasema kuwa ni kwa nini inafaa kwenu kusherehekea wiki ya Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab na wala isifae kwetu kusherehekea mazazi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Hatukushehekea wiki ya Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab. Ni nani aliyesema hivi? Kilichofanyika ni kuchapisha na kueneza vitabu vyake na pia kubainisha na kupambanuliwa ulingano wake (Rahimahu Allaah). Hiki ndicho kilichofanyika.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (73)
- Imechapishwa: 09/04/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)