Swali: Je, Zakaat-ul-Fitwr ni lazima kwa mtu ambaye amesilimu ile siku ya mwisho ya Ramadhaan?
Jibu: Ndio, analazimika kutoa Zakaat-ul-Fitwr kwa sababu hivi sasa ni miongoni mwa waislamu. Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amefaradhisha Zakaat-ul-Fitwr Swaa´ moja ya tende au shayiri kwa wanamme na wanawake, waungwana na watumwa, wadogo na wakubwa kati ya waislamu.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/259)
- Imechapishwa: 06/05/2021
Swali: Je, Zakaat-ul-Fitwr ni lazima kwa mtu ambaye amesilimu ile siku ya mwisho ya Ramadhaan?
Jibu: Ndio, analazimika kutoa Zakaat-ul-Fitwr kwa sababu hivi sasa ni miongoni mwa waislamu. Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amefaradhisha Zakaat-ul-Fitwr Swaa´ moja ya tende au shayiri kwa wanamme na wanawake, waungwana na watumwa, wadogo na wakubwa kati ya waislamu.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/259)
Imechapishwa: 06/05/2021
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kwa-aliyesilimu-kutoa-zakaat-ul-fitwr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)