Swali: Je, inafaa kwa mtu ambaye ni fakiri kuteua mjumbe wa kumpokelea Zakaat-ul-Fitwr kutoka kwa yule anayeitoa katika kipindi chake inapotolewa?
Jibu: Inafaa kufanya hivo. Inafaa kwa yule mwenye kutoa Zakaat-ul-Fitwr kumwambia yule fakiri ateue mtu ambaye atampokelea Zakaat-ul-Fitwr yake wakati inapofika wakati wake. Inapofika wakati wa Zakaat-ul-Fitwr, ambapo ni siku moja au mbili kabla, basi atapewa yule mjumbe ambaye ameteuliwa na yule fakiri.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/268-269)
- Imechapishwa: 06/05/2021
Swali: Je, inafaa kwa mtu ambaye ni fakiri kuteua mjumbe wa kumpokelea Zakaat-ul-Fitwr kutoka kwa yule anayeitoa katika kipindi chake inapotolewa?
Jibu: Inafaa kufanya hivo. Inafaa kwa yule mwenye kutoa Zakaat-ul-Fitwr kumwambia yule fakiri ateue mtu ambaye atampokelea Zakaat-ul-Fitwr yake wakati inapofika wakati wake. Inapofika wakati wa Zakaat-ul-Fitwr, ambapo ni siku moja au mbili kabla, basi atapewa yule mjumbe ambaye ameteuliwa na yule fakiri.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/268-269)
Imechapishwa: 06/05/2021
https://firqatunnajia.com/mjumbe-anapokea-zakaat-ul-fitwr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)