Swali: Tawbah ya kweli inakuwa kwa madhambi makubwa tu au hata madhambi madogo pia? Je, madhambi madogo inatosha kwa mtu kuleta tu Istighfaar na kutenda matendo mema?
Jibu: Ni lazima kwa mtu kuleta tawbah kwa madhambi yote, sawa makubwa na madogo. Ikiwa hutubu kwa madhambi madogo yanageuka kuwa makubwa. Ni juu yako kuleta tawbah juu ya madhambi yote. Usichukulie wepesi kwa madhambi madogo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-5-16.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Tawbah ya kweli inakuwa kwa madhambi makubwa tu au hata madhambi madogo pia? Je, madhambi madogo inatosha kwa mtu kuleta tu Istighfaar na kutenda matendo mema?
Jibu: Ni lazima kwa mtu kuleta tawbah kwa madhambi yote, sawa makubwa na madogo. Ikiwa hutubu kwa madhambi madogo yanageuka kuwa makubwa. Ni juu yako kuleta tawbah juu ya madhambi yote. Usichukulie wepesi kwa madhambi madogo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-5-16.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kuleta-tawbah-kwa-madhambi-makubwa-na-madogo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)