Swali: Ni kwa nini leasing imeharamishwa?
Jibu: Ni kwa sababu kunakusanywa kati ya biashara mbili zinazotofautiana ambapo kila moja ina hukumu yake. Kwa hiyo haijuzu. Isitoshe bidhaa si yenye kutambulika kwa sababu mtu hajui namna ambavo mkataba unavomalizika. Kwa hivyo ni biashara ya kitu kisichotambulika huko katika mustakabali. Aidha ununuzi haupaswi kuahirishwa. Unatakiwa ufanyike katika maeneo hapohapo na kwa kuhudhuria. Ununuzi wa mustakabali kwa maana ya kwamba nitakuuzia pindi bidhaa itafika bandarini au pindi mtu fulani atakapofika au pindi utapofika mwezi fulani. Ni lazima iwe kwa mahudhurio papohapo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (29)
- Imechapishwa: 11/02/2022
Swali: Ni kwa nini leasing imeharamishwa?
Jibu: Ni kwa sababu kunakusanywa kati ya biashara mbili zinazotofautiana ambapo kila moja ina hukumu yake. Kwa hiyo haijuzu. Isitoshe bidhaa si yenye kutambulika kwa sababu mtu hajui namna ambavo mkataba unavomalizika. Kwa hivyo ni biashara ya kitu kisichotambulika huko katika mustakabali. Aidha ununuzi haupaswi kuahirishwa. Unatakiwa ufanyike katika maeneo hapohapo na kwa kuhudhuria. Ununuzi wa mustakabali kwa maana ya kwamba nitakuuzia pindi bidhaa itafika bandarini au pindi mtu fulani atakapofika au pindi utapofika mwezi fulani. Ni lazima iwe kwa mahudhurio papohapo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (29)
Imechapishwa: 11/02/2022
https://firqatunnajia.com/ni-kwa-nini-leasing-ni-haramu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)