Swali: Katika mji wetu kuna Maalikiyyah ambao ni Suufiyyah. Je, ni bora kuanza kuwafunza watu wasiokuwa na elimu kitabu “Usuwl ath-Thalaathah” au dibaji ya kijitabu hichi kilichoandikwa na Ibn Abiy Zayd?
Jibu: Tazama chenye faida zaidi. Tazama kilicho na faida zaidi kwako uanze nacho.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/msrf–16041434.mp3
- Imechapishwa: 24/09/2020
Swali: Katika mji wetu kuna Maalikiyyah ambao ni Suufiyyah. Je, ni bora kuanza kuwafunza watu wasiokuwa na elimu kitabu “Usuwl ath-Thalaathah” au dibaji ya kijitabu hichi kilichoandikwa na Ibn Abiy Zayd?
Jibu: Tazama chenye faida zaidi. Tazama kilicho na faida zaidi kwako uanze nacho.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/msrf–16041434.mp3
Imechapishwa: 24/09/2020
https://firqatunnajia.com/ni-kitabu-gani-mtu-aanze-nacho-kuwafunza-suufiyyah-wanaodai-kuwa-ni-maalikiyyah/