Swali: Ni ipi hukumu ya kusema kila ambaye anatetea msingi wa kusikiliza na kumtii kiongozi ni Murjiy´?
Jibu: Achana nao. Ni maneno ya kipuuzi. Sisi tunawatetea watawala wa waislamu kwa sapoti ya Sunnah za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Qur-aan. Watawala wa waislamu wana utukufu na nafasi yao. Haijuzu kuwaponda. Mtu kama huyu anadhoofisha mkusanyiko, analeta uadui kati ya watawala na wananchi na husababisha shari kubwa. Haijuzu kabisa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/msrf–16041434.mp3
- Imechapishwa: 24/09/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kusema kila ambaye anatetea msingi wa kusikiliza na kumtii kiongozi ni Murjiy´?
Jibu: Achana nao. Ni maneno ya kipuuzi. Sisi tunawatetea watawala wa waislamu kwa sapoti ya Sunnah za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Qur-aan. Watawala wa waislamu wana utukufu na nafasi yao. Haijuzu kuwaponda. Mtu kama huyu anadhoofisha mkusanyiko, analeta uadui kati ya watawala na wananchi na husababisha shari kubwa. Haijuzu kabisa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/msrf–16041434.mp3
Imechapishwa: 24/09/2020
https://firqatunnajia.com/anayemtii-mtawala-ni-murjiy/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)