Swali 176: Ni kipi kinachomlazimu mwanamke mwenye nifasi wakati wa kumaliza damu yake ya uzazi?
Jibu: Ni lazima kwake kuoga kama ambavyo ni lazima vilevile kwa mwanamke mwenye hedhi. Dalili ya hayo ni:
1- Umm Salamah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesimulia: “Wanawake wenye nifasi wakati Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) walikuwa wakikaa siku arubaini.
2- Umm Salamah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesimulia: “Mwanamke katika wanawake wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akikaa katika nifasi nyusiku arubaini. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hamwamrishi kulipa swalah za kipindi cha nifasi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 71
- Imechapishwa: 06/10/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket