Swali: Ni ipi hukumu ya kuvaa pete ya fedha?
Jibu: Hakuna neno kuivaa. Ni mamoja katika mkono wa kuume au wa kushoto. Bora ni kuivaa kwenye kidole kidogo, kama alivovaa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Maswahabah.
Kuhusu pete ya dhahabu haijuzu kwa wanamme. Dhahabu ni kwa wanawake. Pete ya dhahabu, tai ya dhahabu au vicheni vya dhahabu ni kwa wajili ya wanawake na ni mambo hayatakikani kwa wanamme. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza pete ya dhahabu kwa wanamme. Wakati alipomuona bwana mmoja amevaa pete ya dhahabu akamvua na kuitupa na akasema:
“Atakusudiaje mmoja wenu kuweka kaa la Moto mkononi mwake?”
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa-ud-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/3975/%D9%85%D8%A7-%D8%A7%D9%84%D8%B3%D9%86%D8%A9-%D9%81%D9%8A-%D9%84%D8%A8%D8%B3-%D8%A7%D9%84%D8%AE%D8%A7%D8%AA%D9%85
- Imechapishwa: 11/05/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuvaa pete ya fedha?
Jibu: Hakuna neno kuivaa. Ni mamoja katika mkono wa kuume au wa kushoto. Bora ni kuivaa kwenye kidole kidogo, kama alivovaa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Maswahabah.
Kuhusu pete ya dhahabu haijuzu kwa wanamme. Dhahabu ni kwa wanawake. Pete ya dhahabu, tai ya dhahabu au vicheni vya dhahabu ni kwa wajili ya wanawake na ni mambo hayatakikani kwa wanamme. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza pete ya dhahabu kwa wanamme. Wakati alipomuona bwana mmoja amevaa pete ya dhahabu akamvua na kuitupa na akasema:
“Atakusudiaje mmoja wenu kuweka kaa la Moto mkononi mwake?”
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa-ud-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/3975/%D9%85%D8%A7-%D8%A7%D9%84%D8%B3%D9%86%D8%A9-%D9%81%D9%8A-%D9%84%D8%A8%D8%B3-%D8%A7%D9%84%D8%AE%D8%A7%D8%AA%D9%85
Imechapishwa: 11/05/2020
https://firqatunnajia.com/ni-kidole-kipi-wanamme-huvaa-pete/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)