Swali: Je, inahesabika ni katika elimu yenye manufaa kwa ambaye anasikiliza mihadhara, kongamano au khutbah katika kanda?
Jibu: Ndio, ni katika elimu yenye manufaa. Muhimu mzungumzaji awe ni mstahiki na ni katika wanazuoni.
Swali: Akiwa ni katika wanafunzi?
Jibu: Akiwa ni katika wanazuoni ambao yanachukuliwa na kuaminiwa maneno yao ili asije kusema juu ya Allaah pasi na elimu. Awe ni katika wanazuoni wanaojulikana na wanaotambulika.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22971/هل-يعتبر-استماع-الاشرطة-من-العلم
- Imechapishwa: 23/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket