Swali: Ni ipi hukumu ya Zakaat-ul-Fitwr?
Jibu: Zakaat-ul-Fitwr ni faradhi iliyofaradhisha Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). ´Abdullaah bin ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifaradhisha Zakaat-ul-Fitwr kuwa pishi ya tende au pishi ya shayiri kwa kumaliza Ramadhaan.”
Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifaradhisha Zakaat-ul-Fitwr ili imsafishe aliyefunga kutokamana na maneno ya upuuzi na kauli chafu na kuwalisha masikini.”
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/258)
- Imechapishwa: 20/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya Zakaat-ul-Fitwr?
Jibu: Zakaat-ul-Fitwr ni faradhi iliyofaradhisha Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). ´Abdullaah bin ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifaradhisha Zakaat-ul-Fitwr kuwa pishi ya tende au pishi ya shayiri kwa kumaliza Ramadhaan.”
Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifaradhisha Zakaat-ul-Fitwr ili imsafishe aliyefunga kutokamana na maneno ya upuuzi na kauli chafu na kuwalisha masikini.”
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/258)
Imechapishwa: 20/06/2017
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-zakaat-ul-fitwr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)