Swali: Ni ipi hukumu ya Zakaat-ul-Fitwr?
Jibu: Zakaat-ul-Fitwr ni faradhi iliyofaradhisha Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). ´Abdullaah bin ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifaradhisha Zakaat-ul-Fitwr kuwa pishi ya tende au pishi ya shayiri kwa kumaliza Ramadhaan.”
Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifaradhisha Zakaat-ul-Fitwr ili imsafishe aliyefunga kutokamana na maneno ya upuuzi na kauli chafu na kuwalisha masikini.”
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/258)
- Imechapishwa: 20/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya Zakaat-ul-Fitwr?
Jibu: Zakaat-ul-Fitwr ni faradhi iliyofaradhisha Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). ´Abdullaah bin ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifaradhisha Zakaat-ul-Fitwr kuwa pishi ya tende au pishi ya shayiri kwa kumaliza Ramadhaan.”
Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifaradhisha Zakaat-ul-Fitwr ili imsafishe aliyefunga kutokamana na maneno ya upuuzi na kauli chafu na kuwalisha masikini.”
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/258)
Imechapishwa: 20/06/2017
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-zakaat-ul-fitwr/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket