Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kuzitengeneza nywele zake kwa njia ya kisasa bila ya kujifananisha na wanawake wa kikafiri?
Jibu: Yaliyotufikia ni kwamba kutengeneza nywele inakuwa ghali. Ni karibu kupoteza pesa. Ninawanasihi wanawake wetu wajiepushe na mtindo huu.
Mwanamke anatakiwa kumpambia mume wake. Lakini sio kwa njia ya kupoteza pesa kama hii. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kupoteza pesa. Lakini ni sawa endapo ataenda kwa mtengenezaji ambaye atamtengenezea kwa pesa kidogo.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/132)
- Imechapishwa: 30/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kuzitengeneza nywele zake kwa njia ya kisasa bila ya kujifananisha na wanawake wa kikafiri?
Jibu: Yaliyotufikia ni kwamba kutengeneza nywele inakuwa ghali. Ni karibu kupoteza pesa. Ninawanasihi wanawake wetu wajiepushe na mtindo huu.
Mwanamke anatakiwa kumpambia mume wake. Lakini sio kwa njia ya kupoteza pesa kama hii. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kupoteza pesa. Lakini ni sawa endapo ataenda kwa mtengenezaji ambaye atamtengenezea kwa pesa kidogo.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/132)
Imechapishwa: 30/06/2017
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-wanawake-kutumia-mapesa-na-mapesa-kwa-ajili-ya-saluni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)