Swali: Ni ipi hukumu ya Shari´ah kwa ambaye limekariri kwake jambo la kuuza dawa za kulevya?
Jibu: Kilicho cha lazima ni kumsimamishia adhabu ya ki-Shari´ah. Likikariri kwake jambo hilo asimamishiwe adhabu. Hapana vibaya kumuaziri kwa kumfunga jela na mengineyo ambayo yatamzuia kuyatumia. Baadhi ya wanazuoni wanaona kuwa auliwe ikiwa kumtia adabu, kumuaziri na adhabu za ki-Shari´ah hazikumfaa. Hicho ni kiungo kilichooza ambacho kinapaswa kuuliwa kisije kuharibu jamii na ummah. Anatakiwa kusimamishiwa adhabu mara kwa mara mpaka Allaah amwongoze au afe.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/4418/ما-حكم-من-تكرر-منه-تعاطي-المخدرات
- Imechapishwa: 17/06/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya Shari´ah kwa ambaye limekariri kwake jambo la kuuza dawa za kulevya?
Jibu: Kilicho cha lazima ni kumsimamishia adhabu ya ki-Shari´ah. Likikariri kwake jambo hilo asimamishiwe adhabu. Hapana vibaya kumuaziri kwa kumfunga jela na mengineyo ambayo yatamzuia kuyatumia. Baadhi ya wanazuoni wanaona kuwa auliwe ikiwa kumtia adabu, kumuaziri na adhabu za ki-Shari´ah hazikumfaa. Hicho ni kiungo kilichooza ambacho kinapaswa kuuliwa kisije kuharibu jamii na ummah. Anatakiwa kusimamishiwa adhabu mara kwa mara mpaka Allaah amwongoze au afe.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/4418/ما-حكم-من-تكرر-منه-تعاطي-المخدرات
Imechapishwa: 17/06/2022
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-shariah-kwa-ambaye-limekariri-kwake-jambo-la-kuuza-dawa-za-kulevya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)