Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusoma Tashahhud ya mwisho katika Tashahhud ya kwanza?
Jibu: Katika ile ya kwanza afupike katika Tashahhud na kumswalia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kuhusu kuomba ulinzi dhidi ya Moto ni jambo linalokuwa katika Tashahhud ya mwisho. Akiikamilisha katika ile Tashahhud ya kwanza hakuna juu yake kitu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 25
- Imechapishwa: 24/07/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusoma Tashahhud ya mwisho katika Tashahhud ya kwanza?
Jibu: Katika ile ya kwanza afupike katika Tashahhud na kumswalia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kuhusu kuomba ulinzi dhidi ya Moto ni jambo linalokuwa katika Tashahhud ya mwisho. Akiikamilisha katika ile Tashahhud ya kwanza hakuna juu yake kitu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 25
Imechapishwa: 24/07/2018
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-mwenye-kusoma-tashahhud-ya-mwisho-katika-tashahhud-ya-kwanza/