Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusoma Tashahhud ya mwisho katika Tashahhud ya kwanza?
Jibu: Katika ile ya kwanza afupike katika Tashahhud na kumswalia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kuhusu kuomba ulinzi dhidi ya Moto ni jambo linalokuwa katika Tashahhud ya mwisho. Akiikamilisha katika ile Tashahhud ya kwanza hakuna juu yake kitu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 25
- Imechapishwa: 24/07/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)